Video: Zingatia haya kabla ya kutafuta nyumba ya kupanga
September 16, 2020 7:01 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na uelewa wa mazingira ya nyumba unayotaka kupanga.
- Hakikisha unazingatia gharama za kodi, ukaribu wa huduma za kijamii na usalama wako na mali zako.
Dar es Salaam. Kelele za majirani, wizi, uchafu wa mitaa na mambo mengine ni kati ya vitu vinavyoweza kukufanya usifurahie nyumba yako ya kupanga.
Kinachokufanya upate changamoto hizo ni kushindwa kuzingatia mambo muhimu mabayo unatakiwa kuyafahamu kabla ya kupata nyumba ya kupanga.
Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kodi, upatikanaji wa huduma za kijamii, usalama na ubora wa nyumba unayokwenda kupanga.
Unataka kufahamu zaidi? Tazama video hii.
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere