Video: Zingatia haya kabla ya kutafuta nyumba ya kupanga
September 16, 2020 7:01 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kuwa na uelewa wa mazingira ya nyumba unayotaka kupanga.
- Hakikisha unazingatia gharama za kodi, ukaribu wa huduma za kijamii na usalama wako na mali zako.
Dar es Salaam. Kelele za majirani, wizi, uchafu wa mitaa na mambo mengine ni kati ya vitu vinavyoweza kukufanya usifurahie nyumba yako ya kupanga.
Kinachokufanya upate changamoto hizo ni kushindwa kuzingatia mambo muhimu mabayo unatakiwa kuyafahamu kabla ya kupata nyumba ya kupanga.
Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kodi, upatikanaji wa huduma za kijamii, usalama na ubora wa nyumba unayokwenda kupanga.
Unataka kufahamu zaidi? Tazama video hii.
Latest

14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yasisitiza kuzingatia sheria, maadili uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura

21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jinsi ya kupunguza matumizi ya intaneti kwenye simu yako

24 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 29, 2025

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia azindua Benki ya Ushirika Tanzania akihimiza mabadiliko