Rasmi: Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania

Rodgers George 0217Hrs   Machi 19, 2021 Habari

  • Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Dar es Salaam. Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Mama Samia (61) anachukua wadhifa huo baada ya Rais John Magufuli kufariki dunia Machi 17 mwaka huu katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam kutokana na maradhi ya moyo.

Mwanasiasa huyo ameapishwa Saa 4:14 katika Ikulu ya Dar es Salaam.

Kwa undani, fuatilia hapa wakati wa shughuli ya kuapishwa Ikulu

                         

Related Post