Rasmi: Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania
March 19, 2021 6:30 am ·
Rodgers Raphael
- Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Dar es Salaam. Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Mama Samia (61) anachukua wadhifa huo baada ya Rais John Magufuli kufariki dunia Machi 17 mwaka huu katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam kutokana na maradhi ya moyo.
Mwanasiasa huyo ameapishwa Saa 4:14 katika Ikulu ya Dar es Salaam.
Kwa undani, fuatilia hapa wakati wa shughuli ya kuapishwa Ikulu
Latest
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Januari 26
2 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu azindua kituo cha uokoaji Mwanza, asisitiza uwajibikaji
3 hours ago
·
Imani Henrick
Kutoka NIDA hadi Jamii Namba: Safari ya utambulisho wa kidijitali Tanzania
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Edwin Mtei: Mwasisi wa BoT, Chadema anayekumbukwa kwa mengi