Rais Magufuli ateua Mwenyekiti mpya Bodi ya uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi
September 26, 2019 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Dk Leonard Chamriho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri wa uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi.
Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, imeeleza kuwa uteuzi huo wa Dk Chamriho ni Katibu Mkuu wa Uchukuzi katika Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, umeanza leo (Septemba 25, 2019).
Rais Magufuli amewateua pia Wajumbe wanne wa Bodi hiyo.
U T E U Z I. pic.twitter.com/xJpyz0SPxo
— Gerson Msigwa (@MsigwaGerson) September 26, 2019
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere