NECTA yatangaza matokeo darasa la saba 2020
November 21, 2020 12:28 pm ·
Mwandishi
- Shule gani zimekuwa kinara mwaka huu?
- Wanafunzi wa kike wamefanya vipi mwaka 2020?
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2020 ikiwa ni miezi miwili baada ya watoto hao kuhitimu elimu ya msingi Septemba mwaka huu.
Matokeo hayo yametangazwa leo Novemba 21, 2020 na tayari yameshapakiwa katika tovuti ya baraza hilo www.necta.go.tz.
Mtihani wa darasa la saba ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya sekondari na hatimaye elimu ya juu nchini.
Tutakuletea undani wa matokeo yote hayo hivi punde yaliyochambuliwa kwa kina zikiwemo shule 10 bora na wanafunzi waliotikisa mwaka huu.
Latest
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Januari 26
2 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu azindua kituo cha uokoaji Mwanza, asisitiza uwajibikaji
2 hours ago
·
Imani Henrick
Kutoka NIDA hadi Jamii Namba: Safari ya utambulisho wa kidijitali Tanzania
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Edwin Mtei: Mwasisi wa BoT, Chadema anayekumbukwa kwa mengi