Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa
February 7, 2022 6:37 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Latest
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 11, 2026
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 9, 2026
5 days ago
·
Lucy Samson
ATCL kuwarudisha Watanzania waliokwama Dubai