Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa
February 7, 2022 6:37 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Latest
18 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 day ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 30, 2026
