Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa
February 7, 2022 6:37 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Latest
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Wasichana wang’ara matokeo darasa la nne, kidato cha pili
20 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Necta yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili ufaulu waongezeka kiduchu
21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Matokeo darasa la nne, kidato cha pili haya hapa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa