Mfanyabiashara Reginald Mengi afariki dunia Dubai
May 2, 2019 5:56 am ·
Mwandishi
- Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumakia leo.
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.
Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumkia leo.
Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na vyombo vya habari alivyokuwa anamiliki vya runinga ya ITV, na Radio One.
#BREAKINGNEWS:Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko nchini Dubai falme za Kiarabu, taarifa zaidi tutakuletea. pic.twitter.com/mMC6FhvnOU
— ITV (@ITVTANZANIA) May 2, 2019
Latest

6 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chadema: Lissu amehamishiwa ukonga

6 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la magereza lakanusha kutoa taarifa ya alipo Tundu Lissu

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao