Mfanyabiashara Reginald Mengi afariki dunia Dubai
May 2, 2019 5:56 am ·
Mwandishi
- Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumakia leo.
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.
Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumkia leo.
Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na vyombo vya habari alivyokuwa anamiliki vya runinga ya ITV, na Radio One.
#BREAKINGNEWS:Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko nchini Dubai falme za Kiarabu, taarifa zaidi tutakuletea. pic.twitter.com/mMC6FhvnOU
— ITV (@ITVTANZANIA) May 2, 2019
Latest

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

5 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

5 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere