Mfanyabiashara Reginald Mengi afariki dunia Dubai
May 2, 2019 5:56 am ·
Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
- Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumakia leo.
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.
Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumkia leo.
Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na vyombo vya habari alivyokuwa anamiliki vya runinga ya ITV, na Radio One.
#BREAKINGNEWS:Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko nchini Dubai falme za Kiarabu, taarifa zaidi tutakuletea. pic.twitter.com/mMC6FhvnOU
— ITV (@ITVTANZANIA) May 2, 2019
Latest
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
‘Boni Yai’ aachiwa kwa dhamana
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Oktoba 7, 2024
3 days ago
·
Yuster Massawe
Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
4 days ago
·
Davis Matambo
Rais Samia aitaka tume kuleta viwango halali vya kodi Tanzania