Kicheko, maumivu: Hotuba ya Rais Samia mei mosi katika namba
May 1, 2021 12:42 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Leo Mei Mosi ni Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo kitaifa imefanyika mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na wafanyakazi na viongozi mbalimbali wa Serikali na taasisi binafsi.
Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyekuwa mgeni rasmi. Amezungumza mambo mbalimbali kuhusu kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa umma na binafsi ikiwemo kupunguza kodi ya mshahara hadi kufikia asilimia nane kutoka asilimia tisa.
Hata hivyo, ameahidi kupandisha mishahara ya wafanyakazi mwakani baada ya ugonjwa wa corona kuathiri kasi ya ukuaji wa uchumi Tanzania. Yapo mengi aliyozungumza katika hotuba yake, tazama infografia hii

Latest
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka