Fahamu haya kuhusu matumizi ya intaneti, mitandao ya kijamii duniani
February 14, 2019 6:35 pm ·
Zahara
Kwa mujibu wa ripoti ya Dijitali ya Januari 2019 iliyotolewa kampuni ya We are social ya nchini Marekani inaeleza kuwa licha ya changamoto za usiri, udukuzi, habari za uongo na mambo mengine hasi ya maisha ya mtandaoni, bado dunia inaendelea kushikamana na intaneti na mitandao ya kijamii.
Ukuaji wa matumizi ya intaneti duniani hauonyeshi dalili yoyote ya kupungua huku maelfu ya watu wakiingia mtandaoni kila siku. Ukuaji huo ndiyo unaochochea matumizi ya mitandao ya kijamii.

Latest
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Januari 26
2 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu azindua kituo cha uokoaji Mwanza, asisitiza uwajibikaji
3 hours ago
·
Imani Henrick
Kutoka NIDA hadi Jamii Namba: Safari ya utambulisho wa kidijitali Tanzania
5 hours ago
·
Fatuma Hussein
Edwin Mtei: Mwasisi wa BoT, Chadema anayekumbukwa kwa mengi