Fahamu haya kuhusu matumizi ya intaneti, mitandao ya kijamii duniani
February 14, 2019 6:35 pm ·
Zahara
Kwa mujibu wa ripoti ya Dijitali ya Januari 2019 iliyotolewa kampuni ya We are social ya nchini Marekani inaeleza kuwa licha ya changamoto za usiri, udukuzi, habari za uongo na mambo mengine hasi ya maisha ya mtandaoni, bado dunia inaendelea kushikamana na intaneti na mitandao ya kijamii.
Ukuaji wa matumizi ya intaneti duniani hauonyeshi dalili yoyote ya kupungua huku maelfu ya watu wakiingia mtandaoni kila siku. Ukuaji huo ndiyo unaochochea matumizi ya mitandao ya kijamii.
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere