CHATI YA SIKU: Kinachofahamika kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Serikali mwaka 2017-2018
November 16, 2018 11:45 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Novemba 6 mwaka huu, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango aliwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Mapedekezo ya Mpango wa Maendeleo wa taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2019/2020 ambapo miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2017/2018.
Nukta imekuletea kinachofahamika katika mapato yaliyokusanywa na Serikali na matumizi yake
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere