CHATI YA SIKU: Kinachofahamika kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Serikali mwaka 2017-2018
November 16, 2018 11:45 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Novemba 6 mwaka huu, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango aliwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Mapedekezo ya Mpango wa Maendeleo wa taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2019/2020 ambapo miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2017/2018.
Nukta imekuletea kinachofahamika katika mapato yaliyokusanywa na Serikali na matumizi yake

Latest
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
15 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka