CHATI YA SIKU: Kinachofahamika kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Serikali mwaka 2017-2018
November 16, 2018 11:45 am ·
Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam. Novemba 6 mwaka huu, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango aliwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Mapedekezo ya Mpango wa Maendeleo wa taifa na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2019/2020 ambapo miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2017/2018.
Nukta imekuletea kinachofahamika katika mapato yaliyokusanywa na Serikali na matumizi yake
Latest
20 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Wafanyabiashara madini watakiwa kuuza 20% ya dhahabu BoT
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia apigia chapuo matumizi ya Tehama kwa wanafunzi Tanzania
2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Vodacom Tanzania yazindua huduma za matengenezo ya simu kwa wateja wake