Jumapili, Julai 07, 2024
Dar es Salaam. Wakati Corona ikiendelea kuitesa dunia, juhudi mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo zinaendelea duniani ikiwemo usambazaji wa chanjo dhdi ya ugonjwa huo.
Kwa sasa chanjo zinazoongoza kutumiwa zaidi na nchi mbalimbali duniani ni Pfizer/BoiNTech na Oxford/AstraZenaca.