Chanjo ya Corona yazidi kupata muitikio mkubwa duniani

Daniel Samson 0619Hrs   Machi 29, 2021 Chati & Data

Dar es Salaam. Wakati Corona ikiendelea kuitesa dunia, juhudi mbalimbali za kupambana na ugonjwa huo zinaendelea duniani ikiwemo usambazaji wa chanjo dhdi ya ugonjwa huo. 

Kwa sasa chanjo zinazoongoza kutumiwa zaidi na nchi mbalimbali duniani ni Pfizer/BoiNTech na Oxford/AstraZenaca.

Related Post