Rais Samia utengua uteuzi wa bosi mpya TPDC

April 5, 2021 8:02 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu.

Dar es Salaam. Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu. 

Rais Samia alifanya uteuzi wa Richard jana na wakuu wa mashirika na taasisi nyingine za Serikali.

Hata hivyo, pasipo kutarajia mapema leo  asubuhi ametengua uteuzi huo na kumrejesha Dk James Mataragio kuendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo ambaye awali alikuwa anashikilia nafasi hiyo. 

Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya mawasiliano ya Rais Ikulu Dk Mataragio anaendelea na majukumu yake mara moja.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV