Rais Samia utengua uteuzi wa bosi mpya TPDC

April 5, 2021 8:02 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu.

Dar es Salaam. Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu. 

Rais Samia alifanya uteuzi wa Richard jana na wakuu wa mashirika na taasisi nyingine za Serikali.

Hata hivyo, pasipo kutarajia mapema leo  asubuhi ametengua uteuzi huo na kumrejesha Dk James Mataragio kuendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo ambaye awali alikuwa anashikilia nafasi hiyo. 

Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya mawasiliano ya Rais Ikulu Dk Mataragio anaendelea na majukumu yake mara moja.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.