Rais Magufuli ateua Mwenyekiti mpya Bodi ya uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi
September 26, 2019 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Dk Leonard Chamriho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri wa uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi.
Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, imeeleza kuwa uteuzi huo wa Dk Chamriho ni Katibu Mkuu wa Uchukuzi katika Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, umeanza leo (Septemba 25, 2019).
Rais Magufuli amewateua pia Wajumbe wanne wa Bodi hiyo.
U T E U Z I. pic.twitter.com/xJpyz0SPxo
— Gerson Msigwa (@MsigwaGerson) September 26, 2019
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka