Profesa Ngowi afariki dunia ajalini Pwani

March 28, 2022 7:05 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ndaki  ya Dar es Salaam, Profesa Honest Ngowi na dereva wake wamepoteza maisha katika ajali ya gari  leo asubuhi maeneo ya Mlandizi mkoani Pwani.

Taarifa zinaeleza kuwa wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wanasafiria kuangukiwa na lori.

Taarifa zaidi zitakujia, baki nasi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV