Profesa Ngowi afariki dunia ajalini Pwani
March 28, 2022 7:05 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ndaki ya Dar es Salaam, Profesa Honest Ngowi na dereva wake wamepoteza maisha katika ajali ya gari leo asubuhi maeneo ya Mlandizi mkoani Pwani.
Taarifa zinaeleza kuwa wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wanasafiria kuangukiwa na lori.
Taarifa zaidi zitakujia, baki nasi.
Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028