Profesa Ngowi afariki dunia ajalini Pwani
March 28, 2022 7:05 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ndaki ya Dar es Salaam, Profesa Honest Ngowi na dereva wake wamepoteza maisha katika ajali ya gari leo asubuhi maeneo ya Mlandizi mkoani Pwani.
Taarifa zinaeleza kuwa wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wanasafiria kuangukiwa na lori.
Taarifa zaidi zitakujia, baki nasi.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
