Profesa Ngowi afariki dunia ajalini Pwani
March 28, 2022 7:05 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ndaki ya Dar es Salaam, Profesa Honest Ngowi na dereva wake wamepoteza maisha katika ajali ya gari leo asubuhi maeneo ya Mlandizi mkoani Pwani.
Taarifa zinaeleza kuwa wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wanasafiria kuangukiwa na lori.
Taarifa zaidi zitakujia, baki nasi.
Latest
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu ugonjwa wa hantavirus
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili