Profesa Ngowi afariki dunia ajalini Pwani

March 28, 2022 7:05 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ndaki  ya Dar es Salaam, Profesa Honest Ngowi na dereva wake wamepoteza maisha katika ajali ya gari  leo asubuhi maeneo ya Mlandizi mkoani Pwani.

Taarifa zinaeleza kuwa wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wanasafiria kuangukiwa na lori.

Taarifa zaidi zitakujia, baki nasi.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW