Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
6 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Kada wa Chadema ‘Boni yai’ akamatwa na Jeshi la Polisi
7 hours ago
·
Davis Matambo
Neuralink kuja na teknolojia itayowawezesha vipofu kuona
12 hours ago
·
Lucy Samson
Jinsi ya kuongeza ushiriki wa vijana kwenye uchaguzi Tanzania
15 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 18, 2024