Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi. Â
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
2 days ago
·
Nuzulack Dausen
Why Ookla’s recognition of Yas fastest internet matters in Tanzania
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji 2026/27 yashuka kwa asilimia 3.6
4 days ago
·
Nuzulack Dausen
DSE yaongeza ukomo mabadiliko ya bei hisa za CRDB hadi 10%
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa