Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
2 days ago
·
Goodluck Gustaph
Idadi ya watu Zanzibar kuongezeka hadi milioni 2.16 mwaka 2026
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Smartphone 5 zilizopendwa zaidi 2025
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Fahamu wanamichezo 10 wanaolipwa zaidi duniani 2025
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Uhamiaji yatangaza nafasi za ajira kwa vijana Tanzania