Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
CCM yaahidi kutengeneza ajira milioni 8 ifikapo 2030

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26

6 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti Wizara ya Maendeleo yaongezeka kwa asilimia 11.9

6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania kujenga kituo cha upandikizaji figo kikubwa zaidi Afrika