Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
8 hours ago
·
Mwandishi
Fursa, EU ikiiondoa Tanzania katika orodha ya nchi hatarishi kifedha
16 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 21, 2026
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Wananchi watakavyonufaika na usambazaji wa umeme katika vitongoji 9,009
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
JKT yatangaza nafasi za mafunzo ya kujitolea kwa vijana 2026