Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
2 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 23, 2026
3 days ago
·
Lucy Samson
Kwanini wanawake wa kiislamu huchora piko, hina wakati wa sikukuu za Eid?
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mambo ya kuzingatia wakati, kabla na baada ya ‘Interview’
5 days ago
·
Waandishi
Mapendekezo 284 ya tume ya kodi kuwafuta machozi wafanyabiashara Tanzania