Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Februari 28, 2025

3 days ago
·
Lucy Samson
Rais Samia: Majiko banifu, vituo vya kuongeza gesi viongezeke vijijini

3 days ago
·
Daniel Samson
Empowering Farmers: Strategies for a resilient African coffee industry

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Chungu; Malezi ya mzazi mmoja Tanzania