Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022

March 27, 2023 1:38 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692  iliyorekodiwa mwaka juzi.  

NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.

Enable Notifications OK No thanks