Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Spiro Launches E-Bikes in Tanzania promising cleaner rides

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia amtumia salamu Rais Putin, Urusi ikiadhimisha Siku ya Ushindi

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Si kweli: Rais Ibrahim Traore anajenga nyumba za bure Burknafaso