Nchi 10 zenye wakimbizi wengi Duniani

January 18, 2023 7:17 am · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Nchi hizo ni pamoja na Syria, Congo DRC,Columbia, Afghanstan na Yemen.
  • Zinachaangia karibu nusu ya wakimbizi wote duniani.

Dar es Salaam. Wakati ukifurahia kuanza mwaka ukiwa karibu na familia au watu uwapendao kuna mamilioni ya watu ambao wanalazimika kuyakimbia makazi yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo migogoro ya kisiasa.

Kwa mujibu wa Kituo cha Kimataifa Kinachofuatilia Watu Wanaoyakimbia Makazi Yao (IDMC) mpaka kufikia mwishoni wa mwaka 2021 kulikuwa na jumla ya wakimbizi milioni 59.1 waliyoyakimbia makazi yao duniani kote.

IDMC inasema chanzo kikuu cha kuongezeka kwa wakimbizi hao ni migogoro na uonevu pamoja na majanga ya kiasili ikiwemo ukame, njaa, mafuriko na vimbunga.

Migogoro pekee imechangia asilimia 90 ya watu wanaohama makazi yao ambayo ni  sawa na watu milioni 53.2 huku majanga yakichangia asilimia 10 tu ya wakimbizi wote wanaokimbia makazi yao sawa na milioni 5.9.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

Nukta TV

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

Nukta TV

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.