Moto, afya, vyombo vya moto vinavyotawala soko la bima Tanzania
March 1, 2019 8:51 pm ·
Mwandishi
Robo tatu ya tozo za bima nchini zililipwa na wateja mbalimbali nchini kwa ajili ya kununua huduma za bima za majanga ya moto, afya na vyombo vya moto kati ya Januari hadi Septemba 2018, Ripoti ya Mamlaka ya Bima (Tira) inaeleza.
Ripoti ya soko kwa sekta ya bima ya Januari hadi Septemba 2018 ya Tira inaeleza kuwa jumla ya tozo za bima (General insurance premiums) za Sh449.3 bilioni zililipwa katika kipindi hicho ikiwa ni ongezeko la asilimia 4.2 kutoka Sh431.3 bilioni zilizorekodiwa muda kama huo mwaka 2017.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka