Mikakati ya kuboresha upatikanaji wa maji Maswa

February 7, 2022 6:37 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Katika bajeti ya mwaka 2021/22 Wizara ya Maji ilitenga Sh5.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji ikiwemo vituo 16 vya kuchotea maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.

Kukamilika kwa miradi hiyo kutawanufaisha wananchi 109,727 wa halmashauri hiyo na hivyo kuwapunguzia tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama yanayohitajika kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.