Mauzo ya madini nje ya nchi yaongezeka Tanzania

May 25, 2026 10:19 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Sekta ya madini nchini imeendelea kuimarika na kuongeza mchango wake katika uchumi wa Taifa, huku mapato ya fedha za kigeni yatokanayo na mauzo ya madini nje ya nchi yakiongezeka kwa asilimia 31.1 katika mwaka wa fedha 2025/26.

Kwa mujibu wa takwimu zilizowasilishwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Aprili 27, 2026 mapato hayo yaliongezeka kutoka Dola za Marekani milioni 4,119 mwaka 2024/25 hadi Dola milioni 5,401.9 mwaka 2025/26.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV