Mauzo ya madini nje ya nchi yaongezeka Tanzania

May 25, 2026 10:19 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Sekta ya madini nchini imeendelea kuimarika na kuongeza mchango wake katika uchumi wa Taifa, huku mapato ya fedha za kigeni yatokanayo na mauzo ya madini nje ya nchi yakiongezeka kwa asilimia 31.1 katika mwaka wa fedha 2025/26.

Kwa mujibu wa takwimu zilizowasilishwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Aprili 27, 2026 mapato hayo yaliongezeka kutoka Dola za Marekani milioni 4,119 mwaka 2024/25 hadi Dola milioni 5,401.9 mwaka 2025/26.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV