Matumizi ya vyandarua badobado Tanzania

April 25, 2024 4:24 pm · Daudi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya siku ya malaria duniani yakiendelea katika nchi mbalimbali, Ripoti mpya ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania (THDS-MIS) kwa mwaka 2022 inaonyesha kupungua kwa matumizi ya vyandarua vyenye dawa kwa asilimia 13 ndani ya miaka 10.

Ripoti hiyo inayotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (Nbs) inaonesha Mwaka 2011/12 matumizi hayo yalikuwa asilimia 72 iliyoshuka zaidi hadi asilimia 59 mwaka 2022.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Nukta TV

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV