Matumizi ya vyandarua badobado Tanzania
April 25, 2024 4:24 pm ·
Daudi
Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya siku ya malaria duniani yakiendelea katika nchi mbalimbali, Ripoti mpya ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania (THDS-MIS) kwa mwaka 2022 inaonyesha kupungua kwa matumizi ya vyandarua vyenye dawa kwa asilimia 13 ndani ya miaka 10.
Ripoti hiyo inayotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (Nbs) inaonesha Mwaka 2011/12 matumizi hayo yalikuwa asilimia 72 iliyoshuka zaidi hadi asilimia 59 mwaka 2022.

Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028