Matumizi ya vyandarua badobado Tanzania

April 25, 2024 4:24 pm · Daudi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya siku ya malaria duniani yakiendelea katika nchi mbalimbali, Ripoti mpya ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania (THDS-MIS) kwa mwaka 2022 inaonyesha kupungua kwa matumizi ya vyandarua vyenye dawa kwa asilimia 13 ndani ya miaka 10.

Ripoti hiyo inayotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (Nbs) inaonesha Mwaka 2011/12 matumizi hayo yalikuwa asilimia 72 iliyoshuka zaidi hadi asilimia 59 mwaka 2022.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV