Matrilioni ya fedha yanavyozunguka kwenye simu za mkononi Tanzania

July 10, 2019 2:22 pm · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Takwimu za Mawasiliano ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha kuwa miamala inayofanywa kupitia huduma za kifedha za simu za mkononi imeongezeka kwa zaidi ya Sh1 trilioni ndani ya mwezi mmoja.

Ripoti hiyo ya robo ya kwanza ya mwaka 2019, inabainisha kuwa mwezi Machi pekee thamani ya miamala ya fedha iliyofanywa katika simu za mkononi ilifikia Sh7.82 trilioni kutoka Sh6.7 trilioni iliyorekodiwa Februari mwaka huu.

Katika mwezi huo wa Machi watumiaji wa huduma hiyo walifanya miamala milioni 243.5 ikiwa ni juu kidogo kutoka miamala milioni 215 ya Februari.

Huduma za kifedha za kwenye simu zinasaidia kuongeza mzunguko wa fedha nchini na kutatua changamoto mbalimbali za kibenki ikiwemo kuweka fedha, kukopa na kulipia huduma na bidhaa mbalimbali.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV