Mambo yatakayokusaidia kutunza chakula nyumbani
October 7, 2020 8:11 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kutumia njia sahihi za kuhifadhi na kununua chakula kulingana na mahitaji ya familia.
- Kama una chakula kingi, gawa kwa watu wenye uhitaji.
Dar es Salaam. Ugomvi baina ya akina mama wa nyumbani na wasaidizi wao wa kazi ni kutupa chakula hasa kinapokuwa kimeharibika kwa sababu hakijatumika au kimekaa muda mrefu.
Hali hiyo huzua tafrani ikizingatiwa kuwa chakula hununuliwa kwa fedha ili kitumike na watu.
Hata hivyo, zipo sababu mbalimbali zinazosababisha chakula kuharibika na kutupwa hata kabla hakijatumika ikiwemo kununua chakula kingi kwa wakati mmoja na kukosa njia sahihi za uhifadhi.
Ufanye nini kuzuia uharibifu wa chakula nyumbani? Tazama video hii.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka