Mambo yatakayokusaidia kutunza chakula nyumbani
October 7, 2020 8:11 am ·
Rodgers Raphael
- Ni pamoja na kutumia njia sahihi za kuhifadhi na kununua chakula kulingana na mahitaji ya familia.
- Kama una chakula kingi, gawa kwa watu wenye uhitaji.
Dar es Salaam. Ugomvi baina ya akina mama wa nyumbani na wasaidizi wao wa kazi ni kutupa chakula hasa kinapokuwa kimeharibika kwa sababu hakijatumika au kimekaa muda mrefu.
Hali hiyo huzua tafrani ikizingatiwa kuwa chakula hununuliwa kwa fedha ili kitumike na watu.
Hata hivyo, zipo sababu mbalimbali zinazosababisha chakula kuharibika na kutupwa hata kabla hakijatumika ikiwemo kununua chakula kingi kwa wakati mmoja na kukosa njia sahihi za uhifadhi.
Ufanye nini kuzuia uharibifu wa chakula nyumbani? Tazama video hii.
Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028