Mambo yatakayokusaidia kutunza chakula nyumbani

October 7, 2020 8:11 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutumia njia sahihi za kuhifadhi na kununua chakula kulingana na mahitaji ya familia.
  • Kama una chakula kingi, gawa kwa watu wenye uhitaji.

Dar es Salaam. Ugomvi baina ya akina mama wa nyumbani na wasaidizi wao wa kazi ni kutupa chakula hasa kinapokuwa kimeharibika kwa sababu hakijatumika au kimekaa muda mrefu.

Hali hiyo huzua tafrani ikizingatiwa kuwa chakula hununuliwa kwa fedha ili kitumike na watu. 

Hata hivyo, zipo sababu mbalimbali zinazosababisha chakula kuharibika na kutupwa hata kabla hakijatumika ikiwemo kununua chakula kingi kwa wakati mmoja na kukosa njia sahihi za uhifadhi. 

Ufanye nini kuzuia uharibifu wa chakula nyumbani? Tazama video hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.