Mambo ya kufanya kulinda afya ya macho yako

April 19, 2021 9:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuepuka kutumia dawa bila maelekezo ya daktari.
  • Unashauriwa kupima macho mara kwa mara. 

Dar es Salaam. Kadiri umri unavyozidi kusogea uzeeni, viungo vya mwili taratibu huanza kupungukiwa uwezo wake wa kufanya kazi. Kuanzia miguu, mgongo na vivyo hivyo kwa macho. 

Hata hivyo, kwa namna moja ama nyingine, tabia zetu za kila siku zinaweza kuharakisha au kupunguza kasi ya kupungua kwa uwezo wa kuona.

Kwa mujibu wa Daktari na Mtafiti kutoka Taasisi ya Afya ya Jamii (KCMUco), Dk Julieth Sebba, yapo mazoezi au tabia nzuri zinazoweza kuifanya afya ya macho yako kuwa nzuri kadri umri wako unavyozidi kusogea.

Epuka matumizi ya sigara, dhibiti magonjwa kama kisukari na presha ya damu na epuka matumizi ya dawa za macho bila ushauri wa mtaalamu wa afya.

Kufahamu zaidi, tazama video hii:

                         

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
18 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
18 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Nukta TV

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV