Mambo ya kufanya kulinda afya ya macho yako

April 19, 2021 9:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuepuka kutumia dawa bila maelekezo ya daktari.
  • Unashauriwa kupima macho mara kwa mara. 

Dar es Salaam. Kadiri umri unavyozidi kusogea uzeeni, viungo vya mwili taratibu huanza kupungukiwa uwezo wake wa kufanya kazi. Kuanzia miguu, mgongo na vivyo hivyo kwa macho. 

Hata hivyo, kwa namna moja ama nyingine, tabia zetu za kila siku zinaweza kuharakisha au kupunguza kasi ya kupungua kwa uwezo wa kuona.

Kwa mujibu wa Daktari na Mtafiti kutoka Taasisi ya Afya ya Jamii (KCMUco), Dk Julieth Sebba, yapo mazoezi au tabia nzuri zinazoweza kuifanya afya ya macho yako kuwa nzuri kadri umri wako unavyozidi kusogea.

Epuka matumizi ya sigara, dhibiti magonjwa kama kisukari na presha ya damu na epuka matumizi ya dawa za macho bila ushauri wa mtaalamu wa afya.

Kufahamu zaidi, tazama video hii:

                         

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV