Magonjwa 10 tishio kwa mifugo Tanzania
May 19, 2023 7:52 am ·
Daniel Samson

Dar es Salaaam. Mdondo ambao hushambulia zaidi wanyama jamii ya ndege wakiwemo kuku ndiyo ugonjwa uliochangia vifo vingi vya mifugo kwa mwaka 2022/23.
Kwa mujibu wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, ugonjwa huo ulishambuliwa ndege 76,664 ambapo kati ya hayo 11,443 walifariki. Hiyo ni sawa na asilimia 49 ya vifo vyote vya mifugo vilivyotokea mwaka huu wa fedha.
Ugonjwa wa pili ambao ulisababisha vifo vingi vya mifugo ni ugonjwa wa miguu na midomo ambapo mifugo 5,269 ilifariki sawa asilimia 22.6.
Kufahamu magonjwa mengine yaliyoshambulia mifugo, tazama infografia hii
Latest
4 days ago
·
Waandishi Wetu
Mamilioni kuamua hatma ya Tanzania Uchaguzi Mkuu 2025 leo
5 days ago
·
Mwandishi
Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo
5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Kishindo cha wanawake majimboni 2025