Magonjwa 10 tishio kwa mifugo Tanzania
May 19, 2023 7:52 am ·
Daniel Samson

Dar es Salaaam. Mdondo ambao hushambulia zaidi wanyama jamii ya ndege wakiwemo kuku ndiyo ugonjwa uliochangia vifo vingi vya mifugo kwa mwaka 2022/23.
Kwa mujibu wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, ugonjwa huo ulishambuliwa ndege 76,664 ambapo kati ya hayo 11,443 walifariki. Hiyo ni sawa na asilimia 49 ya vifo vyote vya mifugo vilivyotokea mwaka huu wa fedha.
Ugonjwa wa pili ambao ulisababisha vifo vingi vya mifugo ni ugonjwa wa miguu na midomo ambapo mifugo 5,269 ilifariki sawa asilimia 22.6.
Kufahamu magonjwa mengine yaliyoshambulia mifugo, tazama infografia hii
Latest
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi
15 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Vita vya Iran inavyoweza kuathiri uchumi wa Tanzania
22 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 2, 2026
3 days ago
·
Lucy Samson
Ufanye nini nyumba ikizingirwa na mafuriko?