Magonjwa 10 tishio kwa mifugo Tanzania
May 19, 2023 7:52 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaaam. Mdondo ambao hushambulia zaidi wanyama jamii ya ndege wakiwemo kuku ndiyo ugonjwa uliochangia vifo vingi vya mifugo kwa mwaka 2022/23.
Kwa mujibu wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, ugonjwa huo ulishambuliwa ndege 76,664 ambapo kati ya hayo 11,443 walifariki. Hiyo ni sawa na asilimia 49 ya vifo vyote vya mifugo vilivyotokea mwaka huu wa fedha.
Ugonjwa wa pili ambao ulisababisha vifo vingi vya mifugo ni ugonjwa wa miguu na midomo ambapo mifugo 5,269 ilifariki sawa asilimia 22.6.
Kufahamu magonjwa mengine yaliyoshambulia mifugo, tazama infografia hii
Latest

2 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

1 day ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

1 day ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis