Madhara yanayoambatana na kumeza dawa bila kushauriwa na daktari

December 7, 2020 11:53 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kukomaza ugonjwa kwani kumeza dawa bila maelekezo ya daktari kunazuia dalili na siyo kutibu ugonjwa.
  • Pia, mfululizo wa tabia hii hupelekea mwili kuwa sugu kwa baadhi ya dawa.

Dar es Salaam. Ni mara nyingi watu wamekua wakinunua dawa za kutuliza maumivu baada ya kupatwa na homa au kichwa kuuma.

Hata baada ya kufanya hivyo, ni watu wachache hukumbuka kwenda hospitali kwa ajili ya kufanya uchunguzi kubaini ni kipi hasa kinachowasumbua.

Hali hiyo imekua ni tabia kwa baadhi na kupelekea watu kujinunulia dawa au kumeza zile zilizowahi kubaki hapo awali bila hata ya kupata ushauri wa mtaalamu wa afya.

Dk Beno Nkwama kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ameiambia Nukta Habari (www.nukta.co.tz) kuwa magonjwa mengi huonyesha dalili  kama kichwa kuuma, homa, kuharisha na hata kutapika na hivyo kumeza dawa bila ushaur wa daktari siyo salama.

Ni madhara gani yanayoambatana na tabia hiyo, tazama video hii kujifunza

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV