Lissu kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa

December 12, 2024 12:38 pm · Esau Ng'umbi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amesema atawania uenyekiti wa chama hicho dhidi ya Mwenyekiti wake wa sasa Freeman Mbowe aliyekaa kwenye nafasi hiyo kwa miongo miwili.

Lissu ametangaza uamuzi huo leo Desemba 12, 2024 katika mkutano wake na wanahabari uliofanyika ukumbi wa Mlimani jijini Dar es Salaam ambapo amesema ameshawasilisha rasmi kusudio la kuwania nafasi hiyo kwa Katibu Mkuu wa Chadema.

“Napenda kuwajulisheni rasmi kwamba nimeshawasilisha taarifa rasmi kwa katibu mkuu wa chama chetu ya kuondoa kusudio langu la kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti kwa upande wa Tanganyika nililowasilisha tarehe 6 Agosti 2024 na badala yake sasa nimewasilisha kwa katibu mkuu kusudio rasmi la kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama taifa katika uchaguzi ujao,” amesema Lissu.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
6 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
6 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Fahamu kuhusu 'BIPOLAR' | Ugonjwa hatari unaoathiri na kubadili hisia

Fahamu kuhusu 'BIPOLAR' | Ugonjwa hatari unaoathiri na kubadili hisia

Nukta TV

Je, ’BIPOLAR’ ina uhusiano na kupenda kufanya tendo la ndoa zaidi?

Je, ’BIPOLAR’ ina uhusiano na kupenda kufanya tendo la ndoa zaidi?

Nukta TV

Hii ndio sababu uhusiano wa kimapenzi ni marufuku makazini

Hii ndio sababu uhusiano wa kimapenzi ni marufuku makazini

Nukta TV