Lissu kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa

December 12, 2024 12:38 pm · Esau Ng'umbi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amesema atawania uenyekiti wa chama hicho dhidi ya Mwenyekiti wake wa sasa Freeman Mbowe aliyekaa kwenye nafasi hiyo kwa miongo miwili.

Lissu ametangaza uamuzi huo leo Desemba 12, 2024 katika mkutano wake na wanahabari uliofanyika ukumbi wa Mlimani jijini Dar es Salaam ambapo amesema ameshawasilisha rasmi kusudio la kuwania nafasi hiyo kwa Katibu Mkuu wa Chadema.

“Napenda kuwajulisheni rasmi kwamba nimeshawasilisha taarifa rasmi kwa katibu mkuu wa chama chetu ya kuondoa kusudio langu la kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti kwa upande wa Tanganyika nililowasilisha tarehe 6 Agosti 2024 na badala yake sasa nimewasilisha kwa katibu mkuu kusudio rasmi la kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama taifa katika uchaguzi ujao,” amesema Lissu.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.