Kwanini tatizo la kupoteza kumbukumbu linawakumba vijana?

December 29, 2020 11:56 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Sababu kubwa inachochewa na baadhi ya tabia za kimtindo maisha walizo nazo vijana.
  • Wengi hushindwa kukumbuka vitu vidogo vidogo ikiwemo katika matumizi ya simu  na uhifadhi.

Dar es Salaam. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na rafiki yangu wa karibu sana, Nilikuwa nikimkosoa juu ya kukosa kumbukumbu na kushindwa kutimiza ahadi anazoahidi.

Kujitetea, rafiki huyo aliamu kuvunja ukimya na kuniambia kuwa amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu hasa katika vitu vidogo vidogo ikiwemo katika kutumia simu na sehemu anazohifadhi vitu vyake.

“Unaweza kukuta nimefungua “WhatsApp” kumtumia meseji mtu, nikiifungua nakua nimesahau nani nilidhamiria kumtumia ujumbe na ni ujumbe gani. 

Leo tu nimechana nywele na sikumbuki wapi nimeweka chanuo langu,” amesema rafiki yangu huyo.

Hata hivyo, hakuwa mtu wa kwanza kunielezea tatizo hilo hivyo niliona umuhimu wa kumtafuta mtaalamu ili anipatie suluhu juu ya tatizo hilo.

Daktari kutoka Hospitali ya Shree Hindu Mandal, Dk Frank Minja ameiambia Nukta Habari (www.nukta.co.tz) kuwa tatizo hilo ni matokeo ya sababu mbalimbali ikiwemo matumizi ya dawa za kulevya na pombe kali. 

Kufahamu zaidi, tazama video hii:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV