Huyu ndiye rafiki wa kweli wa mafanikio yako

October 20, 2021 5:26 am · Neema
Share
Tweet
Copy Link
  • Mtu huyo ni wewe ambaye unatakiwa kuwajibika na maisha yako binafsi.

Katika maisha, kila mtu anatamani afikie ngazi fulani ya maisha. Iwe katika elimu, biashara au hata kazi, kunakuwa na matamanio fulani ya mtu kukua ili kufikia ndoto zake.

Ili mtu apande ngazi na kwenda kule anakotaka, anahitaji marafiki na watu wa karibu watakaomshika mkono na kumpa ‘support’ ya kila anachofanya. 

Lakini wote hao hawatakua na maana yoyote kama hauna rafiki mmoja mwenye umuhimu mkubwa ambaye ni UWAJIBIKAJI. Rafiki huyu ni wewe mwenyewe.

Unatakiwa kuwajibika na maisha yako binafsi bila kusubiri watu wengine wakushike mkono na kukupeleka kule unakotaka.

Uwajibikaji ni pamoja na kuwa na nidhamu, kutumia muda vizuri na kujikosoa pale unapofanya makosa na kufurahia kile unachokifanya na kukipa umuhimu unaostahili.

Anza leo kuwajibika kwa matendo yako. Kufahamu zaidi tazama video hii ambayo Mwandishi wa vitabu na mshauri wa masuala ya vijana, Neema Simbo anakujuza zaidi kuhusu dhana ya uwajibikaji.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
18 Aug, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
18 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
18 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Nukta TV

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV