Huwa unamlipa kiasi gani mfanyakazi wako wa ndani kwa mwezi?
January 14, 2020 1:23 pm ·
Nuzulack Dausen
Dar es Salaam. Unafahamu kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa ndani Tanzania?
Takwimu muhimu za Tanzania za mwaka 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaeleza kuwa wafanyakazi wa ndani wasiokaa kwa mwajiri nje ya wale wanaofanya kazi kwa mabalozi, wafanyabiashara na maofisa wenye hadhi, ndio wanaolipwa kima cha chini zaidi kuliko wafanyakazi wengine wa ndani cha Sh80,000 kwa mwezi.

Latest
6 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
7 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
8 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo