Huwa unamlipa kiasi gani mfanyakazi wako wa ndani kwa mwezi?

January 14, 2020 1:23 pm · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Unafahamu kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa ndani Tanzania? 

Takwimu muhimu za Tanzania za mwaka 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaeleza kuwa wafanyakazi wa ndani wasiokaa kwa mwajiri nje ya wale wanaofanya kazi kwa mabalozi, wafanyabiashara na maofisa wenye hadhi, ndio wanaolipwa kima cha chini zaidi kuliko wafanyakazi wengine wa ndani cha Sh80,000 kwa mwezi.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV