Huwa unamlipa kiasi gani mfanyakazi wako wa ndani kwa mwezi?

January 14, 2020 1:23 pm · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Unafahamu kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa ndani Tanzania? 

Takwimu muhimu za Tanzania za mwaka 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaeleza kuwa wafanyakazi wa ndani wasiokaa kwa mwajiri nje ya wale wanaofanya kazi kwa mabalozi, wafanyabiashara na maofisa wenye hadhi, ndio wanaolipwa kima cha chini zaidi kuliko wafanyakazi wengine wa ndani cha Sh80,000 kwa mwezi.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW