Huwa unamlipa kiasi gani mfanyakazi wako wa ndani kwa mwezi?
January 14, 2020 1:23 pm ·
Nuzulack Dausen
Dar es Salaam. Unafahamu kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa ndani Tanzania?
Takwimu muhimu za Tanzania za mwaka 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaeleza kuwa wafanyakazi wa ndani wasiokaa kwa mwajiri nje ya wale wanaofanya kazi kwa mabalozi, wafanyabiashara na maofisa wenye hadhi, ndio wanaolipwa kima cha chini zaidi kuliko wafanyakazi wengine wa ndani cha Sh80,000 kwa mwezi.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
