Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:
Latest

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

4 days ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

4 days ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis