Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:

Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu: Kutangaza idadi ya vifo ni kutonesha vidonda vya Watanzania
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake bado kitendawili duniani
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Novemba 25, 2025
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Fedha za sherehe ya uhuru kukarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29