Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:

Latest
9 hours ago
·
Lucy Samson
Hatari inayowakabili wanaotumia vilainishi kama mbadala wa kondomu Tanzania
11 hours ago
·
Lucy Samson
Precision Air yasitisha safari za ndege Nairobi
16 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Wafanyabiashara Kariakoo watii maagizo wahama barabarani
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 17, 2026