Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii