Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:

Latest
3 hours ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh119.1 bilioni CAG aanika sababu
3 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 30, 2026
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mwigulu mgeni rasmi siku ya uhuru wa vyombo vya habari