Fahamu visiwa viwili vinavyoongoza kwa ukubwa Tanzania bara

January 22, 2019 8:30 pm · Zahara
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni visiwa cha Ukerewe kilichopo katika ziwa Victoria pamoja na kisiwa cha Mafia katika bahari ya Hindi.
  • Visiwa hivyo vimezungukwa na vivutio mbalimbali vya utalii ambavyo vikitumika vizuri vitasaidia kukuza sekta ya utalii nchini.

Dar es Salaam. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na vivutio vingi katika bahari hadi nchi kavu ambavyo vinazidi kuipa thamani nchi hasa kwenye sekta ya Utalii.

Hata hivyo moja ya sehemu zinazovutia watu zaidi ni visiwani ambapo watu wanapata nafasi ya kuvuka maji na kwenda kujionea mandhari ya kuvutia hasa fukwe.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Taifa ya Takwimu za Mazingira mwaka 2017-Tanzania Bara inaonyesha visiwa vikubwa viwili ambavyo ni Kisiwa cha Ukerewe chenye kilometa za mraba 647 kilichopo Katika Ziwa Victoria.

Huku cha pili ni kisiwa cha Mafia kilichopo katika Bahari ya Hindi chenye Kilomita za mraba 518. Visiwa hivi ni asilimia 0.12 ya ardhi iliyopo nchini Tanzania.

Maeneo haya yote yamebarikiwa kuwa na hali ya hewa nzuri na vivutio mbalimbali vya utalii vinavyofanya watalii kwenda kujionea kama vile fukwe, mazingira na maeneo mbalimbali ya historia.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.