CHATI YA SIKU: Uzalishaji wa maziwa waongezeka Tanzania lakini mwenendo wa unywaji hauridhishi
November 16, 2018 11:42 am ·
Mwandishi
- Kwa wastani mtu mmoja anakunywa lita 47 za maziwa kwa mwaka ikiwa ni pungufu zaidi ya mara nne ya kiwango kinachopendekezwa na FAO cha lita 200 kwa mwaka
- Uzalishaji na usindikaji maziwa wazidi kuongezeka nchini lakini bado kuna fursa zaidi kutoka katika sekta hiyo.
Dar es Salaam. Licha ya uzalishaji na usindikaji wa maziwa kuongezeka nchini bado mwenendo wa unywaji wa maziwa kwa mwananchi mmoja mmoja siyo wa kuridhisha.
Kwa wastani mtu mmoja anakunywa lita 47 za maziwa kwa mwaka ikiwa ni pungufu mara nne ya kiwango kinachopendekezwa na Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa mtu mmoja kunywa lita 200 kwa mwaka.
Hii ndiyo hali halisi kwa takwimu chache za hivi karibuni kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Latest

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 17, 2025

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Spika Tulia ataka majibu ya Serikali tuhuma matumizi mabaya ya fedha Arusha.