Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
September 27, 2024 6:15 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.
Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.
Latest
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu
21 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 11, 2026
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 9, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL kuwarudisha Watanzania waliokwama Dubai