Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
September 27, 2024 6:15 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.
Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.
Latest
4 hours ago
·
Waandishi Wetu
Sababu Kagera kununua mafuta kwa bei ya juu
6 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 9, 2026
17 hours ago
·
Lucy Samson
Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
22 hours ago
·
Goodluck Gustaph
Fahamu faida za kutumia mifumo rasmi ya fedha