Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
September 27, 2024 6:15 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.
Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.
Latest
2 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Aprili 22, 2026
23 hours ago
·
Lucy Samson
Tume ya uchunguzi matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Aprili 21, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Jinsi ya kuvumilia udhaifu wa mwenza wako katika ndoa