Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
September 27, 2024 6:15 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100.
Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.
Latest

6 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Rais Samia ataja mafunzo matano kwa viongozi wa sasa kujifunza kwa Hayati Msuya

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG