Mauzo ya madini nje ya nchi yaongezeka Tanzania

May 25, 2026 10:19 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Sekta ya madini nchini imeendelea kuimarika na kuongeza mchango wake katika uchumi wa Taifa, huku mapato ya fedha za kigeni yatokanayo na mauzo ya madini nje ya nchi yakiongezeka kwa asilimia 31.1 katika mwaka wa fedha 2025/26.

Kwa mujibu wa takwimu zilizowasilishwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo Aprili 27, 2026 mapato hayo yaliongezeka kutoka Dola za Marekani milioni 4,119 mwaka 2024/25 hadi Dola milioni 5,401.9 mwaka 2025/26.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV