Viwango vya kubadili fedha Februari 24, 2026
Dar es Salaam. Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotolewa na Benki za CRDB na NMB kwa matumizi ya leo Februari 24, 2026 huku Shilingi ya Tanzania ikiendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani kulinganisha na kiwango kilichokuwa jana katika benki ya NMB, na ikisalia kwenye kiwango kile kile kwa benki ya CRDB.
Viwango hivi hubadilika kila siku kulingana na mwenendo wa soko la fedha, na vina umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara, wawekezaji na walipakodi, hasa katika kufanya malipo ya ada, kodi pamoja na ununuzi na uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi.
Kupitia viwango hivi watumiaji wa sarafu za kigeni hupata mwongozo wa kupanga bajeti, kufanya manunuzi na kuendesha shughuli zao za kifedha kwa ufanisi.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania.

Latest