Viwango vya kubadili fedha Januari 13,2025

January 13, 2025 11:25 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani imezidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania kulinganisha na wiki iliyopita. Katika soko rejareja Dola sasa inauzwa kwa Sh2,449 na kununuliwa kwa Sh2,545 katika Benki ya CRDB. Katika Benki ya NMB, Dola inauzwa kwa Sh2,544 na kununuliwa kwa Sh2,449.

Kuimarika kwa Dola ya Marekani kunazidi kuwa kitendawili kwa wafanyabiashara wanao agiza bidhaa kutoka nje. Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV