Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba24, 2024
October 24, 2024 9:33 am ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na NMB unavyoweza kutumia katika shughuli zako za biashara leo Oktoba 24, 2024.
Viwango hivi, vinavyobadilika kutokana na mwenendo wa soko, husaidia wafanyabiashara, watalii na wale wanaohitaji kulipia ada kwenda nchi mbalimbali kujua thamani ya viwango sahihi vya fedha kila siku.
Latest
1 hour ago
·
Lucy Samson
Matumizi ya SMS yapungua kwa asilimia 3 Tanzania
9 hours ago
·
Fatuma Hussein
Badili fedha za kigeni kwa viwango hivi leo Oktoba 25, 2024
1 day ago
·
Lucy Samson
Uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 6 ifikapo 2025
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Tanzania yafikisha laini milioni 80.7 za simu