Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 9, 2024
October 9, 2024 9:38 am ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Kwa wale wanaotarajia kusafiri nje ya nchi, wanaohitaji kulipa ada za watoto wanaosoma nje ya nchi, wahasibu, wananuzi na watumiaji wa pesa za kigeni hivi ndio viwango elekezi vinavyotumika leo Oktoba 9, 2024.
Viwango hivi, vinabadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.
Latest
2 hours ago
·
Lucy Samson
Serikali: Hakuna Mtanzania aliyekwama Lebanon
17 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Bunge la Kenya laidhinisha kumuondoa madarakani Naibu Rais Rigathi Gachagua
20 hours ago
·
Lucy Samson
Mfumuko wa bei wang’ang’ania kiwango cha Agosti 2024
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Utafiti: Zaidi ya asilimia 60 ya Watanzania hawali mlo kamili