Matumizi ya vyandarua badobado Tanzania

April 25, 2024 4:24 pm · Daudi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya siku ya malaria duniani yakiendelea katika nchi mbalimbali, Ripoti mpya ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania (THDS-MIS) kwa mwaka 2022 inaonyesha kupungua kwa matumizi ya vyandarua vyenye dawa kwa asilimia 13 ndani ya miaka 10.

Ripoti hiyo inayotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (Nbs) inaonesha Mwaka 2011/12 matumizi hayo yalikuwa asilimia 72 iliyoshuka zaidi hadi asilimia 59 mwaka 2022.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV