VIDEO: Mambo ya kuzingatia kupata afya bora uzeeni

September 7, 2020 1:07 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuzingatia  mlo bora na wenye uwiano.
  • Mazoezi na kujishughulisha katika kazi nyepesi, vinaweza kuwasaidia kuepukana na mawazo.

Dar es Salaam. Wazee ni kati ya kundi ambalo linahitaji uangalizi wa karibu ikiwa ni pamoja na kuwajali na kuwathamini.

Hata hivyo, wakiwa katika hali hiiyo ya mwili kuchoka, yapo mambo ambayo wanapaswa kuyazingatia ili kuwa na afya bora na kubaki salama yakiwemo kuzingatia mlo wao wa kila siku.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya, Dk Joshua Sultan, wazee wanashauriwa kula chakula chenye uwiano pamoja na maji mengi ili kuwasaidia kubaki katika afya njema.

“Ulaji wa matunda ya kutosha pamoja na kunywa maji mengi kutamsaidia mzee kurahisisha mmeng’enyo wa chakula huku maji yakimkinga na maradhi ya figo ambayo huwapata wazee wengi,” ameelezea Dk Sultan.

Kufahamu zaidi tazama video hii hapa chini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
13 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV