VIDEO: Mambo ya kuzingatia kupata afya bora uzeeni

September 7, 2020 1:07 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuzingatia  mlo bora na wenye uwiano.
  • Mazoezi na kujishughulisha katika kazi nyepesi, vinaweza kuwasaidia kuepukana na mawazo.

Dar es Salaam. Wazee ni kati ya kundi ambalo linahitaji uangalizi wa karibu ikiwa ni pamoja na kuwajali na kuwathamini.

Hata hivyo, wakiwa katika hali hiiyo ya mwili kuchoka, yapo mambo ambayo wanapaswa kuyazingatia ili kuwa na afya bora na kubaki salama yakiwemo kuzingatia mlo wao wa kila siku.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa afya, Dk Joshua Sultan, wazee wanashauriwa kula chakula chenye uwiano pamoja na maji mengi ili kuwasaidia kubaki katika afya njema.

“Ulaji wa matunda ya kutosha pamoja na kunywa maji mengi kutamsaidia mzee kurahisisha mmeng’enyo wa chakula huku maji yakimkinga na maradhi ya figo ambayo huwapata wazee wengi,” ameelezea Dk Sultan.

Kufahamu zaidi tazama video hii hapa chini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
27 Aug, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Nukta TV

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta TV

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nukta TV