CHATI YA SIKU: Uzalishaji wa maziwa waongezeka Tanzania lakini mwenendo wa unywaji hauridhishi

November 16, 2018 11:42 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Kwa wastani mtu mmoja anakunywa lita 47 za maziwa kwa mwaka ikiwa ni pungufu zaidi ya mara nne ya kiwango kinachopendekezwa na FAO cha lita 200 kwa mwaka
  • Uzalishaji na usindikaji maziwa wazidi kuongezeka nchini lakini bado kuna fursa zaidi kutoka katika sekta hiyo.

Dar es Salaam. Licha ya uzalishaji na usindikaji wa maziwa kuongezeka nchini bado mwenendo wa unywaji wa maziwa kwa mwananchi mmoja mmoja siyo wa kuridhisha.

Kwa wastani mtu mmoja anakunywa lita 47 za maziwa kwa mwaka ikiwa ni pungufu mara nne ya kiwango kinachopendekezwa na Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) kwa mtu mmoja kunywa lita 200 kwa mwaka.

Hii ndiyo hali halisi kwa takwimu chache za hivi karibuni kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

Nukta TV