Moto, afya, vyombo vya moto vinavyotawala soko la bima Tanzania
March 1, 2019 8:51 pm ·
Mwandishi
Robo tatu ya tozo za bima nchini zililipwa na wateja mbalimbali nchini kwa ajili ya kununua huduma za bima za majanga ya moto, afya na vyombo vya moto kati ya Januari hadi Septemba 2018, Ripoti ya Mamlaka ya Bima (Tira) inaeleza.
Ripoti ya soko kwa sekta ya bima ya Januari hadi Septemba 2018 ya Tira inaeleza kuwa jumla ya tozo za bima (General insurance premiums) za Sh449.3 bilioni zililipwa katika kipindi hicho ikiwa ni ongezeko la asilimia 4.2 kutoka Sh431.3 bilioni zilizorekodiwa muda kama huo mwaka 2017.
Latest

7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Mei 23, 2025

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Polisi yawasaka wadukuzi baada ya kuzua taharuki mtandaoni

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Ulinzi Tanzania kutumia Sh3.6 trilioni 2025/26

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia amteua Prof Nagu Naibu Katibu Mkuu Tamisemi