Moto, afya, vyombo vya moto vinavyotawala soko la bima Tanzania
March 1, 2019 8:51 pm ·
Mwandishi
Robo tatu ya tozo za bima nchini zililipwa na wateja mbalimbali nchini kwa ajili ya kununua huduma za bima za majanga ya moto, afya na vyombo vya moto kati ya Januari hadi Septemba 2018, Ripoti ya Mamlaka ya Bima (Tira) inaeleza.
Ripoti ya soko kwa sekta ya bima ya Januari hadi Septemba 2018 ya Tira inaeleza kuwa jumla ya tozo za bima (General insurance premiums) za Sh449.3 bilioni zililipwa katika kipindi hicho ikiwa ni ongezeko la asilimia 4.2 kutoka Sh431.3 bilioni zilizorekodiwa muda kama huo mwaka 2017.
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia atoa maelekezo kwa mahakama ataka maboresho zaidi katika utoaji haki

2 days ago
·
Lucy Samson
Noti 22 za fedha kusitishiwa matumizi kuanzia leo Tanzania

3 days ago
·
Lucy Samson
Dk Nchimbi aikosoa “No reform no election” asema hakuna wa kuzuia uchaguzi

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Riba ya benki kuu Tanzania yabakia 6% kwa mara ya nne mfululizo