Mfanyabiashara Reginald Mengi afariki dunia Dubai
May 2, 2019 5:56 am ·
Mwandishi
- Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumakia leo.
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.
Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumkia leo.
Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na vyombo vya habari alivyokuwa anamiliki vya runinga ya ITV, na Radio One.
#BREAKINGNEWS:Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko nchini Dubai falme za Kiarabu, taarifa zaidi tutakuletea. pic.twitter.com/mMC6FhvnOU
— ITV (@ITVTANZANIA) May 2, 2019
Latest
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Januari 26
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu azindua kituo cha uokoaji Mwanza, asisitiza uwajibikaji
12 hours ago
·
Imani Henrick
Kutoka NIDA hadi Jamii Namba: Safari ya utambulisho wa kidijitali Tanzania
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Edwin Mtei: Mwasisi wa BoT, Chadema anayekumbukwa kwa mengi