Mfanyabiashara Reginald Mengi afariki dunia Dubai

May 2, 2019 5:56 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro na umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumakia leo.

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mashuhuri nchini Tanzania Reginald Mengi amefariki dunia.

Mengi aliyezaliwa mwaka 1944 mkoani Kilimanjaro umauti umemkuta akiwa mjini Dubai, Falme za Kiarabu usiku wa kumkia leo.

Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na vyombo vya habari alivyokuwa anamiliki vya runinga ya ITV, na Radio One.

Enable Notifications OK No thanks