Ufaulu kidato cha sita waongezeka kwa asilimia 0.74

July 11, 2019 10:44 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018  hadi  asilimia 98.32  mwaka huu.

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ya mwaka 2019 huku ufaulu ukiongezeka kwa asilimia 0.74 ukilinganishwa na mwaka jana. 

Akitangaza matokeo hayo leo (Julai 11, 2019) Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018  hadi  asilimia 98.32  mwaka huu.

Katika matokeo ya mitihani hiyo iliyofanyika Mei 6 hadi 23 mwaka 2019, watahiniwa 91,236 walisajiliwa kufanya mitihani wakiwamo wanawake 31,948 sawa na asilimia 41.56 huku wavulana wakiwa 53,350 sawa na asilimia 58.44.

Dk Msonde amesema wanafunzi 90,0001 walifanya mtihani kati ya wanafunzi 91,236 waliosajiliwa ambao ni sawa na asilimia 98.85. 

Matokeo ya kidato cha sita >>>>>>>> bonyeza hapa 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
26 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV