Rais Magufuli ateua Mwenyekiti mpya Bodi ya uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi
September 26, 2019 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemteua Dk Leonard Chamriho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri wa uwekezaji wa mapato ya mafuta na gesi.
Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, imeeleza kuwa uteuzi huo wa Dk Chamriho ni Katibu Mkuu wa Uchukuzi katika Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, umeanza leo (Septemba 25, 2019).
Rais Magufuli amewateua pia Wajumbe wanne wa Bodi hiyo.
U T E U Z I. pic.twitter.com/xJpyz0SPxo
— Gerson Msigwa (@MsigwaGerson) September 26, 2019
Latest

19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia amtwisha zigo bosi mpya Tanesco
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba bajeti ya Sh476.65 2025/26

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Mei 23, 2025

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Polisi yawasaka wadukuzi baada ya kuzua taharuki mtandaoni