Kinondoni yaongoza makosa ya jinai Tanzania

January 17, 2020 8:03 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni baada ya kurekodi makosa 57,626 ambayo ni sawa na asilimia 44.1 ya makosa yote yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
  • Kinondoni inafuatiwa na mkoa wa Mwanza ambao una makosa 49,318 yaliyoripotiwa.
  • Makosa ya jinai ambayo yalilipotiwa zaidi ni yale yanahusisha mali za watu, watu na jamhuri.

Dar es Salaam. Wilaya ya Kinondoni katika jijini Dar es Salaam imetajwa kuongoza kwa kuwa na makosa mengi ya jinai nchini baada ya kurekodi makosa 57,626 kati ya makosa 531,695 yaliyorekodiwa nchi nzima kwa mwaka 2018.

Ripoti ya Takwimu Muhimu za Tanzania za 2018 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), inaeleza kuwa wilaya hiyo inashika nafasi ya kwanza Tanzania kwa makosa hayo yaliyoripotiwa katika kipindi hicho ikifuatiwa na mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na makosa 49,318 yaliyoripotiwa.

Makosa ya jinai ambayo yalilipotiwa zaidi ni yale yanahusisha mali za watu, watu na jamhuri. 

Ripoti hiyo hiyo inaeleza kuwa Kinondoni ndiyo iliyokuwa na makosa mengi zaidi ya mali za watu yaliyofikia 25,397. 

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV