Vijana wageni vinara wa kuitembelea Tanzania

January 20, 2020 2:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Wageni vijana hao wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8

Dar es Salaam. Kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 ndiyo wanaongoza kwa kuitembelea Tanzania huku wengi wao wakitokea Marekani na Kenya. 

Kwa mujibu wa Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017), mgawanyo wa wageni kwa  makundi ya umri unaonyesha kuwa, wageni wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8 au karibu nusu ya wageni wote wakifuatiwa na wenye umri kati wa miaka 45 na 64.

Idadi kubwa ya wageni walio na umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 wanatoka Kenya na Marekani.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
28 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
28 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Nukta TV

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta TV

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nukta TV