Mambo yatakayokusaidia kutunza chakula nyumbani

October 7, 2020 8:11 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutumia njia sahihi za kuhifadhi na kununua chakula kulingana na mahitaji ya familia.
  • Kama una chakula kingi, gawa kwa watu wenye uhitaji.

Dar es Salaam. Ugomvi baina ya akina mama wa nyumbani na wasaidizi wao wa kazi ni kutupa chakula hasa kinapokuwa kimeharibika kwa sababu hakijatumika au kimekaa muda mrefu.

Hali hiyo huzua tafrani ikizingatiwa kuwa chakula hununuliwa kwa fedha ili kitumike na watu. 

Hata hivyo, zipo sababu mbalimbali zinazosababisha chakula kuharibika na kutupwa hata kabla hakijatumika ikiwemo kununua chakula kingi kwa wakati mmoja na kukosa njia sahihi za uhifadhi. 

Ufanye nini kuzuia uharibifu wa chakula nyumbani? Tazama video hii.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV