Mambo ya kuepuka siku ya kupiga kura
October 26, 2020 1:46 pm ·
Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
- Ni pamoja na kufanya kampeni ya aina yoyote siku hiyo.
- Usivae sare au kutumia alama za chama cha siasa.
- Hauruhusiwi kukaa kwenye kituo baada ya kupiga kura.
Dar es Salaam. Bila shaka unafahamu kuwa imebaki siku moja tu kufika Oktoba 28, tarehe ambayo inampatia haki kila Mtanzania aliyejiandikisha kupiga kura kumchagua Rais, Mbunge na Diwani amtakaye.
Ili kuepuka usumbufu, unatakiwa kuepuka baadhi ya mambo ikiwemo kuvaa sare za chama, kutumia alama za chama na hata kuimba nyimbo za chama kwani vyama vyote vilitakiwa kufanya hayo wakati wa kampeni.
Je, ni mambo gani mengine unayotakiwa kuyaepuka siku ya kupiga kura? Tazama video hii kufahamu zaidi.
Latest
3 days ago
·
Yuster Massawe
Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
3 days ago
·
Davis Matambo
Rais Samia aitaka tume kuleta viwango halali vya kodi Tanzania
3 days ago
·
Yuster Massawe
Pedi za kufua zinavyosaidia kupunguza uchafuzi mazingira
3 days ago
·
Fatuma Hussein
TMA yatahadharisha upepo mkali Pwani, Ziwa Nyasa