Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani

December 22, 2020 10:08 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
  • Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.

Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.

Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.

/
No matches found for this filter
26 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV