Dondoo muhimu kukitunza choo nyumbani

December 22, 2020 10:08 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamojana kuhakkikisha uwepo wa maji muda wote.
  • Usafi wa chooni ufanyike walau mara mbili kwa siku.

Dar es Salaam. Msemo wa nyumba ni choo una maana pana kuliko inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

Choo kikiwa kichafu na kisichokidhi viwango vya ubora na usafi kinaweza kusababisha madhara mengi ya kiafya na kiuchumi kwa wanafamilia. Changamoto zingine ni harufu mbaya na wadudu kama nzi nyumbani.

Unawezaje kukitunza choo chako kuepukana na changamoto hizo? Tazama video hii kujifunza.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW