VIDEO: Fahamu haya kabla haujanunua “makeup”

January 13, 2021 6:44 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuzingatia melekezo yanayoambatana na bidhaa hizo.
  • Pia, unashauriwa kuongea na wataalamu ili kupata makeup inayokufaa na kuendana na wewe.

Dar es Salaam. Kama wewe ni mdau wa makeup, huenda umekutana na changamoto mbalimbali baada ya kununua bidhaa hizo na kuishia kutokuzitumia tena.

Kwa ambao ni wageni wa msamiati wa makeup, kukuondoa gizani, makeup ni bidhaa za urembo ambazo hutumika na wanawake kwa ajili ya kuwa mwonekano mzuri na mvuto. 

Bidhaa hizo hujumuisha rangi za mdomoni (lipstick), na rangi mbalimbali za usoni zikiwemo “powder” na “foundation”.

Hata hivyo, kuepukana na kufanya makosa wakati wa kununua bidhaa hizo, ni muhimu kuzingatia baadhi ya mambo yakiwemo kuifahamu rangi halisi ya ngozi yako, kusoma vizuri maelekezo ya kutumia bidhaa hizo na kununua bidhaa halisi (original). 

Uzingatie nini kingine, tazama video hii:

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV